Sunday, March 18, 2018

FASHION: DAD UGLY SNEAKERS ZAZIDI KUSHIKA CHAT


Ukizungumzia kwenda na wakati basi juua kwa sasa raba zilizopewa jina la ‘Dad Ugly Sneakers’ ndio zinahit sana kitaani hasa kwa mastaa.

Katika ulimwengu huu wa mitindo watu wengi wanapenda kwenda na wakati kwa kuvaa vitu vilivyo na majina makubwa. Mfano:- bidhaa za Louis Vuitton, Balenciaga, Zara na nyinginezo. Ila tokea kuingie trend ya viatu vilivyopewa jina...
la ‘Dad Ugly Sneaker’ basi baadhi ya mastaa wameamisha mapenzi yao huko.





Unaweza kuhoji kwa nini viatu vimepewa jina hilo, hii ni kwa sababu ya kuonekano wake kuwa mbaya yaani hauvuti. Watu kama Kim Kardashian, Jade Smith, Bella Hadidi na wengineo wameshatinga raba hizi na ku-roll nazo kitaani.


ADA VYUO VIKUU NCHINI UJERUMANI YAFUTWA KWA WANAFUNZI WA NJE NA NDANI

Leo March 18, 2018 Nimeipata hii stori kutoka Ujerumani imepitisha sera mpya ya elimu kwa kuondoa aina zote za ada za masomo katika mfumo wa elimu ya juu, na kutoa elimu bure kwa wanafunzi wote wanaotoka ndani na nje ya Ujerumani. 

Sasa wanafunzi wote wanaosoma nchini Ujerumani watakuwa na fursa ya kupata elimu  bure, na kufanya kufanya fursa za elimu katika bara la...
ulaya na ulimwenguni kwa ujumla.

Good News inatoka katika taifa la Ulaya Ujerumani ambapo wameamua kutoa elimu bure kwa wanafunzi wote kutoka U.S.A na duniani kote.

Wakati gharama ya elimu ya chuo kikuu ya Marekani inapoongezeka kwa masomo ya shahada ya kwanza ya kuanzia $ 14,300 kwa vyuo vikuu vya serikali kama UCLA hadi $ 37,800 kwa shule binafsi kama ada ya Chuo cha Harvard, Ujerumani sio gharama kubwa sana kuanza.

Watch & Download: Weusi ft Christian Bella_Nijue (Official Video)


Watch Here

KITUO CHA RUNINGA CHA NCHINI MAREKANI BET CHAMPONGEZA DIAMOND PLATNUMZ


Kituo cha runinga cha kimataifa cha ‘BET ‘ kimetoa pongezi kwa msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz baada ya album yake mpya ya ‘A Boy From Tandale’ kuingiza nyimbo tano zinazosikilizwa zaidi kwenye mtandao was iTunes nchini Burkina Faso.

Kituo hicho kimetoa pongezi hizo kupitia ukurasa wake wa Twitter kwa kuandika ”Hongera Diamond Platnumz kwa kuingiza nyimbo tano zinazosikilizwa zaidi...
nchini Burkina Faso kwenye mtandao wa iTunes”.

Jumatano Machi 14, 2018 Diamond Platnumz alizindua album yake ya ‘A BOY FROM TANDALE’ jijini Nairobi nchini Kenya.

WATANZANIA WANNE WAONDOKA NA TUZO ZA HIPIPO NCHINI UGANDA

Usiku wa March 17, 2018 nchini Uganda zilitolewa Tuzo za Hipipo ambazo zinatolewaga kila mwaka nchini humo na kwa siku ya jana zilitolewa katika Ukumbi wa Serena Hotel ya Uganda na Watanzania wanne ambao ni Alikiba, Vanessa Mdee, Diamond na Darassa wameibuka washindi kwenye baadhi ya vipengele.

Alikiba ameibuka mshindi katika kipengele cha Wimbo bora wa mwaka Tanzania Seduce Me, Diamond ameshinda kipengele cha wimbo bora wa mwaka Afrika Marry You na Eneka ikitwaa...
Video bora kutoka afrika mashariki, Vanessa ameshinda Msanii bora wa kike Africa Mashariki na Darassa ameshinda kipengele cha Wimbo ulio-hit Afrika Mashariki Muziki… (East Africa Super Hit)
Baadhi ya Vipengele hivyo….

AFRICA
Africa Song of the Year => Diamond Platnumz Ft. Ne-Yo – Marry YouAfrica Video of the Year => Mafikizolo – Love PotionBest Francophone Africa Act => Toofan – TerreAfrica Best Female Artist => Tiwa SavageBest Song from Western Africa => Davido – IFBest Song from Southern => Africa Roberto – Into You

East AfricaSong of the Year => Kenya Nyashinski – MalaikaSong of the Year Tanzania => AliKiba – Seduce MeSong of the Year Rwanda => Meddy – SlowlyRwanda Video of the Year => Butera Knowless – UzagarukeEast Africa Super Hit => Darassa Ft. Ben Pol – MuzikiEast Africa Best Video => Diamond Platnumz – EnekaEast Africa Best Breakthrough Artist => Bruce MelodieBest East African Collabo => Sheebah Ft. The Ben – BinkoleraEast Africa Best Female Artist => Vanessa Mdee

Saturday, March 17, 2018

SIMA SC YAAGA RASMI MASHINDANO YA KOME LA SHIRIKISHO



Klabu ya wekundu wa msimbazi Simba imeyaaga rasmi mashindano ya kombe la Shirikisho barani Afrika baada ya kutoka sare ya 0 – 0 dhidi ya timu ya Al Masry katika mchezo uliyopigwa nchini Misri.

Simba SC imetolewa katika mashindano hayo baada ya kutoka sare ya mabao 2 – 2 jijini Dar es Salaam katika...
mchezo wake wa awali.
Picha za matukio ya uwanjani

 
 
 
 
 


 

FOLLOW US ON INSTAGRAM SMASH JUANITO

Image result for SMASH
Follow our instagram account now by click down here then follow

Follow Here