Kituo hicho kimetoa pongezi hizo kupitia ukurasa wake wa Twitter kwa kuandika ”Hongera Diamond Platnumz kwa kuingiza nyimbo tano zinazosikilizwa zaidi...
nchini Burkina Faso kwenye mtandao wa iTunes”.
Jumatano Machi 14, 2018 Diamond Platnumz alizindua album yake ya ‘A BOY FROM TANDALE’ jijini Nairobi nchini Kenya.
No comments: