ilipoishia sehemu iliopita
huku machoz yakimlenga kwa utamu looh!!! hakika ilikua raha kwa mashemeji hao ambapo walijikuta wakisaahau kila kitu na kuanza kushikishana ukuta na meza ya dining room wakivunjia amri ya sita kwa mara nyingine tena..
HUSNA "baby shusha suruali basi .. mi nakupendaa nashindwa zuia hisia zangu namwagaa tuu aah!"
LUCAS "Nipo kwa ajili yako mrembo napenda unavoikatikia loh! mwanamke unayajua wewe " huku akizitomasa chuchu za mrembo husna ambazo zilikua zimechachamaa zilizosimama (chuchu saa6)
HUSNA "oooh!!! shemeji unaniua jamani hii naniliia yako inanikuna vizuri"
Ghafla mlango unafunguka kwa mshtuko anaingia mwanake ameshikilia begi kwa mshtuko kuona yanayotokea dining room uliyo pembeni ya sebule anaangusha simu ya chupa ya maji kwa mshtuko
AISHA "mume wangu!!!!!!!!!!!!!"
DUH KUMBE NI MKE WA LUCAS NA DADA WA HUSNA AITWAE AISHA........
sasa tuendelee...............
LUCAS.. "mungu wang sijui amezimia au amekufa!!"
HUSNA. .. "ngoja nivae tumpeleke hospitali lakini mbona hukuniambia kama anakuja leo"
LUCAS .. "hapana haikupaswa kurudi leo sema labda alitaka kuni suprize mke wangu amka"
huku akimtikisa mke wake aisha kwa kumshtua labda angeweza kuamka baada ya kumfumania lucas ambae ni mume wake halali akiwa na husna ambaye ni mdogo wake wakiwa wanavunja amri ya sita katika sehem ya dining ya kula.... tena wakiwa kileleni
HUSNA " lucas mimi naomba nikuache wew umepeleke aisha hosptal mimi siwez kwenda na sijui nitaiweka sura yangu wapi ...... " huku husna akiondoka haraka haraka....
husna anamuacha lucas akiangaika peke yake kumpepea mke wake ambae anaonekana yupo kwatika hali ya kutojitambua..na pia hofu kubwa ikiwa imetanda maana waliokuwa wanayafanya sio mema.kilikua ni kipindi kigumuu...
Baada ya muda kama wa dakika 5 hivi aisha anashtukaaa..........
ASHA..."husnaaa" akiita huku akikurupukaaa.... kutoka alopodondokaaa..
Lucas .. "asha mke wangu taratibuu utajaza watu husna ayupo ameondoka "
ASHA "yukwapi uyo shetani mwenzako kweli lucas wew ni waku nisaliti kwa mdogo wangu ndani ya nyumba yangu " huku akilia saana na kupiga kelele
LUCAS "ni shetani tuu tuliza hasira"
ASHA "hapana simu yangu ipo wapi husna awez kunifanyia uwendawazimu hivi nitawauwa nyie .... simu yang ipo wapi niaacheee usiniguse."
huku akitaFta simu yake ambayo ilikua imedondoka kwa ule mshtuko na kupasuka kioo..
LUCAS "mke wangu...."
ASHA "Shetani wew nani mkeo .. nataka talaka yangu .. na uyo mweznako mliekua mlatiana nae namfataaaaa uko uko "
huku asha akiinuka na kutoka njeeee....lucas amuachii anamfata kujaribu kumpunguza hasiraaa
LUCAS "mama punguza hasira basi sasa unataka kwenda wapi na umepoteza faham mda mfupi tuu em tuliaa"
asha anamsukuma lucas na kuita boda boda anaondoka
"twende biafra kimbiza haraka" alikua ni asha akimuamuru boda boda akimbize boda ili kuepukan na ushawishi wa lucas wa kutulia nyumbani...
TURUDI UPANDE WA HUSNA...
HUSNA .shosti ndo hvo hapa nimeambiwa dada yupo nyumbani kwa mama analia tuu na mim nimechanganyikiwa hata sijui nitaiweka sura yangu wapi... hapa anantafuta kula kona
JENIFER .. "Sasa rafki yangu hata kama ndo mapenz kwan mlikua mnashindwa kufanyia sehem nyingine .. looo! hapo umebugii kweli shosti mbo.. imekunigeaaa"
HUSNA "jeny usiseme hvo rafk yangu ilikua bahat mbaya. dada yangu hata nielewa kwa hili"
JENIFER "mm nakushauri ukae hapa utulie mpaka seke seke lipoe maana kama kaenda kusema kwenu unazani utaeka sura yako utaekA sura yako wapi.."
HUSNA "Eheee tena mama anapiga na huyu atakua ni dada asha anatumia simu ya mama maana lucas kaniambia simu ya asha imepasua kioo."
JENIFER. "wewe kwl umenogewa na uyo shemeji yako yaani baada ya yote mpaka naw bado mnawasiliana mbona mpo hivo anakupa nin uyo bwana?? inanekana anajua mchezo eee? emu nielezee "
HUSNA.. "Rafki yangu dada yangu anafaidi pale bwana ana karoti tamuu yaan hata selewi we siuna muona alivo handsome??? lakin ndo hivo ni shemeji yangu ndo nashindwa kujizuia"
JENIFER "Oooh! sasa ndo uji control hisia zako mbona wanaume wapo wengi na skuiz hadi vi ben 10 vipo mama"
HUSNA.."shosti una pombe umu ndani ??ivo vi ben 10 inahu!!"
yalikua ni maongezi kati ya husna na rafik yake jeny ambapo husna alienda kwa rafki huyo kutuliza akili...
UPANDE WA ASHA
Akiwa nyumbani kwao asha akiwa ma mama yake mzaz.. anaonekana analia saana na mama yake akimbembeleza huku akisikitika sanaaa....
MAMA ASHA.." nyamaza mwanangu na ilikuaje uyo mdogo wako akawa anaishi kwako.. ?"
ASHA "Mama mim sielew imekuaje na lucas mm anipe talaka yangu tuu hii ni aibu "
MAMA ASHA "Usiseme hvo we mwana Ndoa ndoanoo"
ASHA "kama ndoano yenyew ndo hii mimi siitak na huyo husna mm na yeye stak tujuane nikimuona ama zake ama zangu"
MAMA ASHA "Balaa gani hili subabahnna allah!"
yalikua ni maongezi katu ya mama asha na asha
UPANDE WA LUCAS
LUCAS "mpenz mm najua utakua haupa sawa lakin mm nimekumis tayar na simtak dada yako kwanza upo wap naomba tukutane hata hotelin bas tujadiliane tunafanyje"
HUSNA.. "mmh! una maneno matam mpaka umeniloanisha looh! lakin unajua baada ya aya yaliotokea nimeambiwa mama ananisbiri na dada asha anasma atanikomesha"
LUCAS "mim naona hayo tungeonana kuyajadili vizur bwanaaaa mpenz mm nikuone tuu au ujaimiss"
HUSNA "nimeimiss bas ka book room plz usisahau maji moto and agiza kitimoto npate nguvu si ndie tanu yangu eeH"
LUCAS "hahahahahah!! wewe muislam feki kabisa yaan icho kitimoto unavokipenda mmh!! bas ntakutumia text hotel gan uje na taxi haraka mpenz maan hapa mimi hoi"
HUSNA "oky bye mwah!"
yalikua ni maongezi ya lucas na husna wakielezeana jinsi gani wakutane na kueneleza starehe zao licha ya yote kutokea maongezi yao ya kimahaba yalioashiria kwamba wamedata sanaa.. mida ilisogea basi husna na lucas wakawa wamekutana hotel fulani wakiwa wanakula raha ... huku asha akiwa katika majonzi makubwa baada ya kuwaona mdogoye na mume wake wa ndoa akiwa anavunja amri ya sita hadharani ...
BASI TUSIKOSE SEHEMU YA 3 YA CHOMBEZO HILI
KESHOO..
KUJOIN NA WHATSAPP PAGE YETU KWA MACOMBEZO CLICK LINK HII
No comments: