Monday, December 29, 2014

VIP Mass Choir Feat. John P. Kee - Lily In The Valley - 1993


01.I Love Jesus
02.Saved
03.You Know What's Best
04.Satisfied
05.Only a Prayer Away
06.Lily in the Valley
07.Cast Your Cares
08.Let Us Not Be Weary
09.Jesus
10.He's My Rock

Clique Aqui Para Baixar (Click Here To Download)

Tuesday, December 16, 2014

HATIMAE SHEM IBRAHIM KARENGA AZIKWA

HATIMAE  mwanamuziki mkongwe mpiga gitaa muimbaji na mtunzi mahiri Shem Ibrahim Karenga amezikwa katika makaburi  ya Kisutu jioni ya leo. Shughuli hiyo ilianza kwa utata baada ya kuwa makaburini hapo kulikuwa na misiba minne hivyo kila lilipokuja jeneza wanamuziki, ndugu na wapenzi wa muziki walijikuta wakisindikiza jeneza na..........INAENDELEA HUKU

Monday, December 15, 2014

BURIANI SHEM IBRAHIM KARENGA

LEO Jumatatu tarehe 15 Desemba 2014, majira ya saa nne asubuhi taarifa zilianza kusambaa kuwa mwamba mwingine wa muziki wa dansi Tanzania umedondoka. Mzee Shem Karenga hatunae tena,kwa vyovyote waliohudhuria dansi alilopiga Ijumaa na Jumamosi iliyopita pale Mwembeyanga watakuwa hawaamini, lakini imekuwa mapenzi ya Mungu, kwamba asubuhi ya leo aliamka hajisikii vizuri na alipelekwa hospitali ya Amana lakini hakukuweza kufanyika kitu Mzee akarudi kwa Muumba wake. Mungu aipokee roho yake. Miezi michache iliyopita tulipata muda mrefu wa kuongea na Mzee Shem Karenga ili kujua alikotokea na mawazo yake kwa sasa mazungumzo yalikuwa kama ifuatavyo;................................. ENDELEA HUKU

Monday, November 10, 2014

LEO NIMEKUMBUKA KIBAO MASAFA MAREFU CHA TANCUT ALMASI...angalia video


Kasaloo Kyanga ndie mtunzi wa kibao hiki maarufu, kilirekodiwa RTD Dar es Salaam katika awamu ya pili ya recording za Tancut Almasi. Recording hii ilitaka kuvunja bendi kwa kuwa wakati bendi ikiwa studio, Said Mabela alipita studio na Katibu wa bendi akamuuliza kwa siri anausikiaje muziki? Sijui kwa sababu gani lakini Mabela alijibu, "Hapa hakuna kitu nasikia solo tupu". Katibu wa bendi ambaye pia wakati huo alikuwa Katibu wa tawi la JUWATA la Tancut, akatujia juu wanamuziki wa Tancut kuwa tunapiga solo tupu na hivyo tuache kurekodi na bendi irudi Iringa kwa mazoezi zaidi. Ulikuwa ugomvi mkubwa, wakati huo Mabela amekwisha ondoka hata kumuuliza alikuwa ana maana gani haikuwezekana. Fundi wa RTD James Muhilu ndie aliyemtuliza Katibu huyo kwa kumueleza kuwa nae haelewi maana ya maneno ya Mabela na recording ikaendelea na dunia ikapata bahati ya kusikia kibao hiki. Nakumbuka katika awamu ya kwanza ya kurekodi Sidi Morris alikuja studio na kupiga tumba katika vibao kadhaa kikiwemo Wifi utunzi wa mwenye blog hii John Kitime. Hili lilileta mzozo Maquis ambako Sidi alikuwa akifanyia kazi na hivyo akasimamishwa bendi kwa kushiriki kurekodi

Saturday, November 8, 2014

HISTORIA FUPI YA TAARAB

Taarab ina historia ndefu katika muziki wa Tanzania kama ulivyokuwa muziki wa dansi. Wapenzi wa taarbu wa zamani waliiweka taarabu katika vyanzo kama Taarab ya Tanga, Taarab ya Dar es Salaam,Taarab ya Zanzibar na Taarab ya Mombasa. Taarab ya Zanzibar wakati huo........INAENDELEA HUKU

Wednesday, October 22, 2014

MIAKA KUMI YA KUMBUKUMBU YA KIFO CHA NDALA KASHEBA

ndala-kasheba_2255445LEO tunatimiza miaka kumi toka kifo cha mwanamuziki mahiri Freddy Supreme au maarufu kama Ndala Kasheba. Freddy alianza kufundishwa gitaa na baba yake wakati akiwa na umri wa miaka 12. Baba yake alijua kupiga gitaa japo hakufanya kazi ya uanamuziki, alikuwa akipiga gitaa nyumbani baada ya saa za kazi. Moja ya bendi maarufu ambazo zilimtambulisha sana Fredd ilikuwa Orchestra Fauvette, Freddy alieleza kuwa bendi ya Orchestra Fauvette ilianza tarehe 7 mwezi wa sita mwaka 1964 katika jiji la Lubumbashi huko Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo. Jina hilo Fauvette........ENDELEA HUKU

Monday, October 13, 2014

Wow Gospel - 2014

"WOW" is a series of annual compilation albums featuring contemporary Christian music. Originally simply called "WOW" immediately followed by the coming year, the "WOW" brand was extended to include the additional collections mentioned below. The WOW franchise represents the most successful collections of Christian music ever issued.

Released in late 1995, "WOW 1996" was the first in the WOW series and the first recording put together by the three major Christian record companies of the time: Word Records (now Word Entertainment), Sparrow Records (now part of EMI Christian Music Group), and Reunion Records (now part of Sony's Provident Label Group). Still today, after each submitting label agrees to a reduced master royalty, the final decision on the tracks to be included is made by committee. Production, marketing, and distribution for the "WOW Hits" series is handled by EMI Christian Music Group.


Disc 1
01.Every Praise (Hezekiah Walker)
02.Greatest Man (Vashawn Mitchell)
03.Nothing Without You (Jason Nelson)
04.Withholding Nothing (William McDowell)
05.I Win (Marvin Sapp)
06.Break Every Chain (Tasha Cobbs)
07.We Are Not Ashamed (AndraƩ Crouch)
08.You Reign (William Murphy)
09.Finish Strong (Strong Finish) (Jonathan Nelson)
10.Worthy Is Your Name (Charles Jenkins)
11.Your Best Days Yet (Paul Morton)
12.Still Able (James Fortune)
13.I've Seen Him Do It (Kurt Carr and Kurt Carr Singers)
14.Good God (Shirley Ceasar)
15.A Little More Jesus (Erica Campbell)

Disc 2
01.A God Like You (Kirk Franklin)
02.If He Did It Before (Same God) (Tye Tribbett)
03.Go Get It (Mary Mary)
04.Sunday Kinda Love (Israel Houghton Feat.Aaron Lindsey, PJ Morton and Nikki Ross)
05.Tell the World (Lecrae Feat.Mali Music)
06.Trumpet Blows (Kierra Sheard)
07.You Will (Andy Mineo)
08.Have Your Way (Deitrick Haddon)
09.1 on 1 (Zacardi Cortez)
10.Here in Our Praise (Fred Hammond)
11.Our God (Micah Stampley)
12.If We Had Your Eyes (Michelle Williams)
13.Faith to Believe (Sheri Jones-Moffett)
14.The Gift (Donald Lawrence)
15.Keep Doing What You're Doing (Anita Wilson)

Clique Aqui Para Baixar (Click Here To Download)