Wednesday, May 2, 2018

Download: Aslay_Kaitesi


Download

Download: Ommy Dimpoz ft Seyi Shay_Yanje


Download

FACEBOOK WATANGAZA KUIMARISHA FARGHA ZA WATUMIAJI WA MTANDAO HUO

Kutokana na kampuni ya Facebook kukumbwa na kashfa ya data za watumiaji wa mtandao huo hivi karibuni, kampuni hiyo imetangaza kufanya mabadiliko kadhaa ii kuimarisha faragha ya watumiaji wa mtandao huo.

Facebook imeeleza kuwa imeongeza faragha kwa watumiaji wake kwa kuweka sehemu ya kufuta historia ya ulichokitafuta katika...
mtandao huo.

Kampuni hiyo ilikumbwa na kashfa ya kutothamini faragha za watumiaji wake huku watumiaji zaidi ya milioni hamsini walidukuliwa katika kipindi cha uchaguzi wa Marekani jambo ambalo Mkurugenzi wa kampuni hiyo Mark Zuckerberg amesema halitajirudia tena.

Watch & Download: Chidinma_Yanga (Official Video)


Watch Here

Watch & Download: Ace Hood_Testify (Official Video)


Watch Here

Watch & Download: Ommy Dimpoz ft Seyi Shah_Yanje (Official Video)


Watch Here

Watch & Download: Harmonize ft Sarkodie_DM Chick (Official Video)


Watch Here

Watch & Download: Simco_Nianze Mimi (Official Video)


Watch Here

UWOYA NA DOGO JANJA RAHA TUPU



Msanii wa Muziki wa Bongo Flava, Dogo Janja azidi kuyaanika mapenzi aliyonayo hadharani kwa mke wake ambaye ni Muigizaji,Irene Uwoya.

Dogo Janja kupitia ukurasa wa instagram amepost picha akiwa na mke wake huyo na kuandika caption iliyoandikwa hivi “thamani ya upendo wako ni ya maisha kama maisha yalivyo ni...
upendo.”

Irene Uwoya nae hakukaa kimya alimjibu Dogo Janja na kusema “Nakupenda leo jana na milele.”

WEMA SEPETU AIVUNJIA UKIMYA NGOMA MPYA YA OMMY DIMPOZ



Kimya kingi kina mshindo – Malkia wa filamu Bongo, Wema Sepetu ameshindwa kuzuia hisia zake kwenye wimbo mpya’Yanje’ wa Ommy Dimpoz ambao amemshirikisha Seyi Shay kutoka Nigeria.

Madam Sepenga amefunguka kuwa muziki wa aina hiyo ndio muziki anaoupenda na kumwambia msanii huyo kwa sasa anaimba...
muziki wa kikubwa.

Kupitia mtandao huo Wema ameadika:
Wanasemaga Kimya Kingi kina MSHINDO mkubwa… Ngoma Imenibamba Hatare… Sijui kwasababu ndo aina ya Mziki ninaopenda… Forever Bae Umemaliza wallahy… This One Is Just Amazing…
.
.
.
Alafu kama naona GROWTH… Yaani Mziki unaoimba now kama wa Kikubwa zaidi… Keep it Up kipenzi… Umeua… Yaani Ni Balaa… Kazi Nzuri umefanya kummezesha Seyi Shai Swahili…
.
.
.
WellDone… You outdid yourself… Proud of You… Ladies & Gentlemen ebu tufanye kutembelea Bio yake @ommydimpoz tukaicheck hii video na tusikilize hii track… Ni Moto wallahy… .
.
.
Naona hii ulituliza kichwa kweli kweli… Wen you talk about Mziki Mzuri sasa ndo huu apa… cc @ommydimpoz @ommydimpoz @ommydimpoz @ommydimpoz

Friday, April 27, 2018

BAADA YA MIAKA 35, ABBA WAINGIA TENA STUDIO


 Katika maelezo yao waliyoyatoa kupitia ukurasa wao wa Instagram, walisema wazo liliwaijia kujaribu kuona itakuwaje wakiingia tena studio, wenyewe wanasema ni kama bile wanaendelea walipoacha kwani wana nyimbo kadhaa ingawaje tarehe ya kuziachia haijatajwa, japo wimbo wao mmoja I still have faith in you, utaonyeshwa kwenye luninga kuanzia mwezi wa Disemba, kwa kutumia taaluma ya kidijitali ambapo vitakavyokuwa vinaonekana vikifanya onyesho ni vivuli tu vya wanamuziki hawa.
Abba walikuwa na nyimbo nyingi maarufu kama Waterloo, I have a dream na kadhalika. Kundi hili lilisambaratika mwaka 1982.

BABU WA KITAA AKIRI STAREHE NDIYO CHANZO CHA YEYE KUPOTEA KIMUZIKI

Babu wa Kitaa Athibitisha Usemi wa Country Boy
Siku za nyuma kidogo Country Boy alisema kuwa moja ya kitu klichoua muziki wa msanii babu wa kitaa ni kutokana na kuendekeza starehe na kulewa umaarufu na ndio maana ameshindwa kuendelea na muziki wake.

akiongea na radio clouds fm ,Babu wa kitaa alikiri kuwa usemi wa ndugu yake Country Boy ni kweli na kwamba...
alilewa kuwa na jina na wimbo mzuri alikuwa ameutoa mara ya kwanza na ndio maana aliacha kufanya kazi na kuendekeza starehe.

IDRIS SULTAN NA JERRY MURO WAJIBIZANA MTANDAONI KISA MAANDAMANO

Idris Ajibizana na Jerry Muro Katika Mitandao ya Kijamii
Msanii  wa maigizo ya uchekeshaji nchini idris sultan ameingia katika majibizano na aliyekuwa mwanahabari jerry muro baada ya Idris kupost clip iliyokuwa ikisapoti maandamano ya amani yaliyotakiwa kufanyika April 26 na  wananchi waliokuwa wakiiipinga serikali.

Idris katika clip hiyo aliwataka watu kuandamna kwa amani na sio vita wala kusababisha kukosekana kwa amani ndipo Jerry Murro nae...
alipotoa maoni yake kuhusu mawazo hayo ya Idris.

AKOTHEE ATAMANI KUONGEZA MTOTO WA SITA


MSANII mwenye vituko kutoka nchini Kenya, Esther Akothee, kidizaini kama anatamani kuongeza mtoto wa sita baada ya kuacha meseji tata mtandaoni. Mkali huyo wa Ngoma ya Oyoyo ambaye haishi vituko kila kukicha, juzikati aliwapa sapraiz mashabiki wake kwa kusema kuwa endapo atabeba mimba tena, basi lazima kuwe na mkataba.

“Mhmmm vile wanaume walinizalisha na kuniacha hoi! Wakati huu nikibeba mimba ni mpaka contract (mkataba)! Kwanza tuweke account ya mimba! iiitwe...
pregnant account (akaunti ya mimba), post natal account (akaunti ya kujifungua), school fee account (akaunti ya ada ya shule) na holiday account (akaunti ya mapumziko).
Bila hizi Sheria kutimizwa! Nenda uzae nje au ununue mtoto! Hamtujazi ujinga. Angalia fridge pale nyuma! Sasa nikule watoto ama? Na ndiyo nimetoka hospitali na mtoto mgeni.

Baba na lawyer wako wapi?” Aliandika Akothee katika ukurasa wake wa Instagram na kuweka picha akiwa na baadhi ya watoto wake. Akothee mwenye watoto watano, kwa sasa yupo katika uhusiano na meneja wake, Nelly Oaks.

HARMONIZE: SIJAWAHI KUTAMANI KUFANYA KOLABO NA ALIKIBA


Msanii kutoka label ya WCB, Harmonize amefunguka iwapo yupo tayari kufanya kolabo na Alikiba. Muimbaji huyo amesema hajawahi kutamani kufanya kolabo na msanii huyo na si Alikiba pekee bali na wasanii wengi.

“Lengo la Watanzania wote ni kuona ni kiasi gani tunaweza ku-push muziki wetu na kuupeleka mbali. Sijawahi kutamani kufanya kolabo na Alikiba, sijawahi kutamani kufanya kolabo na...
msanii yeyote lakini ikitokea kipindi tunafanya,” amesema.

“Vitu vingine lazima viwepo ili game izidi kupamba moto, so mimi sidhani kama kuna kitu cha ajabu sana,” Harmonize ameiambia Radio Five.

Kwa sasa Harmonize anafanya vizuri na kolabo aliyofanya na Diamond inayokwenda kwa jina la Kwa Ngwaru, huu ni wimbo wa pili kufanya pamoja baada ya ule wa Bado uliotoka mwaka 2016.

Download: Walter Chilambo_Only You


Download

Download: Dianond Platnumz_Sijaona


Download

Download: Quizy ft Skelletune_Danadana


Download