Wednesday, May 2, 2018

Download: Aslay_Kaitesi


Download

Download: Ommy Dimpoz ft Seyi Shay_Yanje


Download

FACEBOOK WATANGAZA KUIMARISHA FARGHA ZA WATUMIAJI WA MTANDAO HUO

Kutokana na kampuni ya Facebook kukumbwa na kashfa ya data za watumiaji wa mtandao huo hivi karibuni, kampuni hiyo imetangaza kufanya mabadiliko kadhaa ii kuimarisha faragha ya watumiaji wa mtandao huo.

Facebook imeeleza kuwa imeongeza faragha kwa watumiaji wake kwa kuweka sehemu ya kufuta historia ya ulichokitafuta katika...
mtandao huo.

Kampuni hiyo ilikumbwa na kashfa ya kutothamini faragha za watumiaji wake huku watumiaji zaidi ya milioni hamsini walidukuliwa katika kipindi cha uchaguzi wa Marekani jambo ambalo Mkurugenzi wa kampuni hiyo Mark Zuckerberg amesema halitajirudia tena.

Watch & Download: Chidinma_Yanga (Official Video)


Watch Here

Watch & Download: Ace Hood_Testify (Official Video)


Watch Here

Watch & Download: Ommy Dimpoz ft Seyi Shah_Yanje (Official Video)


Watch Here

Watch & Download: Harmonize ft Sarkodie_DM Chick (Official Video)


Watch Here

Watch & Download: Simco_Nianze Mimi (Official Video)


Watch Here

UWOYA NA DOGO JANJA RAHA TUPU



Msanii wa Muziki wa Bongo Flava, Dogo Janja azidi kuyaanika mapenzi aliyonayo hadharani kwa mke wake ambaye ni Muigizaji,Irene Uwoya.

Dogo Janja kupitia ukurasa wa instagram amepost picha akiwa na mke wake huyo na kuandika caption iliyoandikwa hivi “thamani ya upendo wako ni ya maisha kama maisha yalivyo ni...
upendo.”

Irene Uwoya nae hakukaa kimya alimjibu Dogo Janja na kusema “Nakupenda leo jana na milele.”

WEMA SEPETU AIVUNJIA UKIMYA NGOMA MPYA YA OMMY DIMPOZ



Kimya kingi kina mshindo – Malkia wa filamu Bongo, Wema Sepetu ameshindwa kuzuia hisia zake kwenye wimbo mpya’Yanje’ wa Ommy Dimpoz ambao amemshirikisha Seyi Shay kutoka Nigeria.

Madam Sepenga amefunguka kuwa muziki wa aina hiyo ndio muziki anaoupenda na kumwambia msanii huyo kwa sasa anaimba...
muziki wa kikubwa.

Kupitia mtandao huo Wema ameadika:
Wanasemaga Kimya Kingi kina MSHINDO mkubwa… Ngoma Imenibamba Hatare… Sijui kwasababu ndo aina ya Mziki ninaopenda… Forever Bae Umemaliza wallahy… This One Is Just Amazing…
.
.
.
Alafu kama naona GROWTH… Yaani Mziki unaoimba now kama wa Kikubwa zaidi… Keep it Up kipenzi… Umeua… Yaani Ni Balaa… Kazi Nzuri umefanya kummezesha Seyi Shai Swahili…
.
.
.
WellDone… You outdid yourself… Proud of You… Ladies & Gentlemen ebu tufanye kutembelea Bio yake @ommydimpoz tukaicheck hii video na tusikilize hii track… Ni Moto wallahy… .
.
.
Naona hii ulituliza kichwa kweli kweli… Wen you talk about Mziki Mzuri sasa ndo huu apa… cc @ommydimpoz @ommydimpoz @ommydimpoz @ommydimpoz

Friday, April 27, 2018

BAADA YA MIAKA 35, ABBA WAINGIA TENA STUDIO


 Katika maelezo yao waliyoyatoa kupitia ukurasa wao wa Instagram, walisema wazo liliwaijia kujaribu kuona itakuwaje wakiingia tena studio, wenyewe wanasema ni kama bile wanaendelea walipoacha kwani wana nyimbo kadhaa ingawaje tarehe ya kuziachia haijatajwa, japo wimbo wao mmoja I still have faith in you, utaonyeshwa kwenye luninga kuanzia mwezi wa Disemba, kwa kutumia taaluma ya kidijitali ambapo vitakavyokuwa vinaonekana vikifanya onyesho ni vivuli tu vya wanamuziki hawa.
Abba walikuwa na nyimbo nyingi maarufu kama Waterloo, I have a dream na kadhalika. Kundi hili lilisambaratika mwaka 1982.

BABU WA KITAA AKIRI STAREHE NDIYO CHANZO CHA YEYE KUPOTEA KIMUZIKI

Babu wa Kitaa Athibitisha Usemi wa Country Boy
Siku za nyuma kidogo Country Boy alisema kuwa moja ya kitu klichoua muziki wa msanii babu wa kitaa ni kutokana na kuendekeza starehe na kulewa umaarufu na ndio maana ameshindwa kuendelea na muziki wake.

akiongea na radio clouds fm ,Babu wa kitaa alikiri kuwa usemi wa ndugu yake Country Boy ni kweli na kwamba...
alilewa kuwa na jina na wimbo mzuri alikuwa ameutoa mara ya kwanza na ndio maana aliacha kufanya kazi na kuendekeza starehe.

IDRIS SULTAN NA JERRY MURO WAJIBIZANA MTANDAONI KISA MAANDAMANO

Idris Ajibizana na Jerry Muro Katika Mitandao ya Kijamii
Msanii  wa maigizo ya uchekeshaji nchini idris sultan ameingia katika majibizano na aliyekuwa mwanahabari jerry muro baada ya Idris kupost clip iliyokuwa ikisapoti maandamano ya amani yaliyotakiwa kufanyika April 26 na  wananchi waliokuwa wakiiipinga serikali.

Idris katika clip hiyo aliwataka watu kuandamna kwa amani na sio vita wala kusababisha kukosekana kwa amani ndipo Jerry Murro nae...
alipotoa maoni yake kuhusu mawazo hayo ya Idris.

AKOTHEE ATAMANI KUONGEZA MTOTO WA SITA


MSANII mwenye vituko kutoka nchini Kenya, Esther Akothee, kidizaini kama anatamani kuongeza mtoto wa sita baada ya kuacha meseji tata mtandaoni. Mkali huyo wa Ngoma ya Oyoyo ambaye haishi vituko kila kukicha, juzikati aliwapa sapraiz mashabiki wake kwa kusema kuwa endapo atabeba mimba tena, basi lazima kuwe na mkataba.

“Mhmmm vile wanaume walinizalisha na kuniacha hoi! Wakati huu nikibeba mimba ni mpaka contract (mkataba)! Kwanza tuweke account ya mimba! iiitwe...
pregnant account (akaunti ya mimba), post natal account (akaunti ya kujifungua), school fee account (akaunti ya ada ya shule) na holiday account (akaunti ya mapumziko).
Bila hizi Sheria kutimizwa! Nenda uzae nje au ununue mtoto! Hamtujazi ujinga. Angalia fridge pale nyuma! Sasa nikule watoto ama? Na ndiyo nimetoka hospitali na mtoto mgeni.

Baba na lawyer wako wapi?” Aliandika Akothee katika ukurasa wake wa Instagram na kuweka picha akiwa na baadhi ya watoto wake. Akothee mwenye watoto watano, kwa sasa yupo katika uhusiano na meneja wake, Nelly Oaks.

HARMONIZE: SIJAWAHI KUTAMANI KUFANYA KOLABO NA ALIKIBA


Msanii kutoka label ya WCB, Harmonize amefunguka iwapo yupo tayari kufanya kolabo na Alikiba. Muimbaji huyo amesema hajawahi kutamani kufanya kolabo na msanii huyo na si Alikiba pekee bali na wasanii wengi.

“Lengo la Watanzania wote ni kuona ni kiasi gani tunaweza ku-push muziki wetu na kuupeleka mbali. Sijawahi kutamani kufanya kolabo na Alikiba, sijawahi kutamani kufanya kolabo na...
msanii yeyote lakini ikitokea kipindi tunafanya,” amesema.

“Vitu vingine lazima viwepo ili game izidi kupamba moto, so mimi sidhani kama kuna kitu cha ajabu sana,” Harmonize ameiambia Radio Five.

Kwa sasa Harmonize anafanya vizuri na kolabo aliyofanya na Diamond inayokwenda kwa jina la Kwa Ngwaru, huu ni wimbo wa pili kufanya pamoja baada ya ule wa Bado uliotoka mwaka 2016.

Download: Walter Chilambo_Only You


Download

Download: Dianond Platnumz_Sijaona


Download

Download: Quizy ft Skelletune_Danadana


Download

Download: RJ The Dj ft Baraka The Prince_Bora Iwe


Download

Download: Willy Paul ft Ben Pol_Mamangu rmx


Download

DIAMOND AANGUKIA MIKONONI MWA BINTI KUTOKA RWANDA


Mara nyingi mastaa wengi hupenda kufanya mahusiano yao siri hadi pale habari zinapovuja ndipo wanaamua kuweka kila kitu wazi. Mara baada ya kuachana na Zari The Boss Lady kumekuwa na tetesi kuwa Diamond anatoka na msichana maarufu hasa katika mitandao nchini Rwanda, Shaddy Boo.

Tetesi zinaibuka wakati kukiwa na stori kama hizo kuwa Diamond amerudiana na mwanamitindo Hamisa Mobetto ambao walifanya mahusiano yao kuwa siri hadi pale...
walipojaliwa kupata mtoto.

Taarifa zinaeleza kuwa Diamond na Shaddy wamekuwa karibu sana hasa muimbaji huyo anakuwepo nchini Rwanda na kuna baadhi ya picha pamoja na video zinaeleza hilo.

Katika birthday ya Diamond October 02, 2017 iliyofanyika Hyatt Regency Dar es Salaam, Shaddy ni miongoni mwa watu waliohalikwa.

Kama hiyo haitoshi katika show ya Diamond aliyofanya Naivasha, Kenya January 01, 2018 mrembo huyo alikuwepo na kuna baadhi ya picha zinawaosha wakiwa chumbani pamoja na Lukamba ambaye ni mpiga picha wa WCB.



Katika picha hizo mbili za mwanzo utaona Shaddy na Lukamba walikuwa hotel moja ukitazama kwa makini. Taa iliyo juu ya meza inaweza kuthibitisha hilo.

Picha ya juu ni kipindi ambacho bado Diamond alikuwa Kenya, utaona wawili hao kuna mmoja wapo wamevaa ‘sendo’ za mwenzake au wamevaa sare. Hata hivyo mwisho wa siku hizi zote zinabaki kuwa ni tetesi.

Pia inaelezwa kuwa Shaddy alikuwa ameolewa na producer Meddy Saleh kutoka Rwanda na walijaliwa kupata mtoto mmoja kabla ya kutengana.
Picha zaidi za Shaddy pamoja na video zake.

 
Video Player
Video Player
Video Player
Video Player

Thursday, April 26, 2018

FREDDY LUKINDO WA STROKERS HATUNAE TENA

The Strokers, hili lilikuwa kundi jingine la wanamuziki wa Upanga. The Strokers lilikuwa na awamu mbili, ya kwanza ilikuwa na wanamuziki akina Donald Max, David Max, Harry Chopeta, Vincet Chopeta, Pino Makame na Ochiwa na Freddy Lukindo. Awamu ya pili ya kundi hili ilikuwa na Sajula Lukindo,Onesmo Kibira,Innocent Galinoma,Ben Galinoma, Denis Pad,Francis Kasambala,Vicent na Harry Chopeta, Ally Mwarabu, Sabri Mmanga na wengineo. Pichani ni awamu ya kwanza ya Strokers. Waliosimama, Pino Makame, Freddie Lukindo, David Max. Waliokaa (?),Harry Chopeta, Vincet Chotepa.
KWA HESHIMA YA FREDDY NIMERUDIA TENA POST HII, FREDDY AMEFARIKI ALFAJIRI LEO MUNGU AMLAZE PEMA BROTHER FREDDY
TARATIBU ZA MAZISHI TUTAELEZANA

Tuesday, April 24, 2018

Watch & Download: Omarion_Nudes (Official Video)


Watch Here

Watch & Download: Rouge ft BigStar_Dololo (Official Video)


Watch Here

Watch & Download: Kayumba_Tuongee (Official Video)


Watch Here

Watch & Download: Harmonize ft Diamond Platnumz_Kwangwaru (Lyrics)


Watch Here

Download: Popsound ft DyceValo_You Got Me


Download

Download: Mesen Selekta ft Musiholiq x Target_Kinanda (rmx)


Download

Download: Noble_Kiroba


Download

Download: Kismarty x Galaton_Heshima


Download

ELYCENT ARUDI KUIPANDISHA BENDERA YA YA HIPHOP NCHINI KENYA



Msanii wa muziki wa rap kutoka nchini Kenya, Mwakima Elisha a.k.a Elycent amezungumzia mabadiliko ya biashara ya muziki na ukubwa wa kukubalika kwa muziki wa hip hop na rap tofauti na ilivyokuwa  kipindi cha nyuma.

Akipiga Story na Dizzim Online juu ya mapokezi ya wimbo wake mpya wa ‘Hip Hop Is Back’ , Elycent amethibitisha kuwa muziki wa kuimba ulifanya vizuri kibiashara ambapo amesema kuwa anachokiona ni...
uwezekano mkubwa wa kila rapa mkali kutengeneza pesa nyingi kwenye muziki wa hip hop kwa sasa.

“Manzeeeee…hip hop is on fire right now na hawa singers they can confess bout that. when I say hip hop is back namaanisha imerudi na ubaya tena kwa ubaya Boss. Vile narogaa na nachora lines na tusiende mbali, lets jump on my new jam ‘Hip Hop Is Back’ can tell that na hiyo hata rappers wa Kenya na East Africa hawabishani”. Amesema  Elycent.

“Nimeachia Song na nashukuru Mungu inajipush bila mimi kutumia nguvu kubwa, so! from there unaweza amini kuwa kwa sasa hivi from hip hop ground tunaweza tengeneza pesa mob ya muziki tofauti na vile ilikuwa kitambo, so kikubwa we need support tu ya mafans”. Ameongeza.

Hata hivyo Elycent anasikika akimtaja Aslay katika wimbo wake huo mpya na alipoulizwa juu ya kutambua soko la muziki la Aslay, aliongeza kuwa moja ya soko la muziki linalokuwa katika mawazo yake pindi anapokuwa akiandaa muziki mzuri kwa mashabiki ni Soko la Tanzania na nchi tofauti zinazotumia na kuelewa lugha ya Kiswahili.

TAKWIMU ZA SIMON MSUVA LIGI YA MOROCCO ZAZIDI KUWA TISHIO

Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars anayeichezea club ya Difaa El Jadid ya Morocco Simon Msuva amezidi kuchukua headlines katika Ligi hiyo kwa uwezo wake anaoendelea kuuonesha kila mechi anayocheza.

Msuva hadi sasa ndio mchezaji pekee wa kigeni aliye na magoli mengi Ligi Kuu Morocco akiwa na magoli...
9, ila katika TOP 10 ya wachezaji wanaoongoza kwa magoli Ligi Kuu Morocco hakuna raia yoyote wa kigeni zaidi ya Simon Msuva.

Bado game nne Ligi Kuu Morocco msimu wa 2017/2018 iweze kumalizika, ambapo Ligi hiyo inashirikisha timu 16 Simon Msuva hadi sasa amekosa game tatu kutokana na kuitwa Taifa Stars katika ya game 26 Difaa El Jadid ilizocheza na amecheza game 23, mzunguuko wa kwanza amekosa game moja pekee.

CRYSTAL ATOZWA TSH MIL 1.2 BAADA YA KUTOKULA APPLE KWENYE NDEGE

Mwanamke mmoja kutoka nchini Ufaransa amedai kuwa anakabiliana na faini ya Dola za Marekani 500 sawa na Shilingi za Kitanzania Milioni 1.2 baada ya apple alilokuwa amepewa bure kwenye ndege kukutwa kwenye begi lake.

Mwanamke huyo aliyejitambulisha kwa jina la Crystal Tadlock ambaye alikuwa anasafiri kutoka Paris, Ufaransa kwenda Marekani alipewa apple hilo kama...
kitafunwa kwenye ndege aliyokuwa amepanda.

Anaeleza kuwa aliamua kulitunza ili kulila akiwa amepanda ndege yake inayofuata akiwa anaelekea Denver lakini lilikutwa wakati wa ukaguzi na mawakala wa mipaka wa Marekani aliposhuka kwenye ndege hiyo katika Uwanja wa Ndege wa Minneapolis.

TAZAMA PICHA 15 ZA MAZISH YA AGNESS MASOGANGE JIJINI MBEYA

Leo April 23, 2018 Mwili wa Agnes Gerald ‘Masogange’ umezikwa rasmi jioni nyumbani kwao Mbalizi Mbeya. Shuka chini kutazama PICHA 15 kutoka katika mazishi...