Mwanamuziki wa zamani aliyekuwa mpiga saxaphone aliyejulikana pia kama Mzee Saboso, Ally Rashid amefariki dunia leo mchana. Mzee Ally kwa mara ya mwisho alikuwa bendi ya Msondo Ngoma. Wiki chache zilizopita mtandao wetu ulifanya mahojiano marefu na Mzee Ally hivyo soma hapa historia ndefu ya Mzee huyu. Mpaka muda huu ndugu zake hasa wa Zanzibar ambako ndio kwao walikuwa hawajatoa taarifa ya taratibu za maziko. Mara tutakapopata taarifa zaidi tutawataarifu.
Mungu Amlaze Pema peponi Mzee Ally Rashid
HISTORIA YA ALLY RASHID KHAMIS ‘SABOSO’ ISOME HAPA
Mungu Amlaze Pema peponi Mzee Ally Rashid
HISTORIA YA ALLY RASHID KHAMIS ‘SABOSO’ ISOME HAPA
No comments: