dfasdfasdfsdaf
Wednesday, December 2, 2015
ABOUBAKAR KASONGO MPINDA KUZIKWA LEO KISUTU
Marehemu Aboubakar Kasongo Mpinda
MWANAMUZIKI Aboubakar Kasongo Mpinda aliyefariki jana jioni anategemewa kuzikwa leo saa kumi katika makaburi ya Kisutu. Mpinda alifariki jana nyumbani kwake Mwananyamala na mwili wake kwenda kuhifadhiwa katika hospitali ya Mwananyamala.
Mungu amlaze Peponi Pema
No comments:
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments: