Wednesday, December 2, 2015

ABOUBAKAR KASONGO MPINDA KUZIKWA LEO KISUTU


MUTOMBO & MPINDA
Marehemu Aboubakar Kasongo Mpinda


MWANAMUZIKI Aboubakar Kasongo Mpinda aliyefariki jana jioni anategemewa kuzikwa leo saa kumi katika makaburi ya Kisutu. Mpinda alifariki jana nyumbani kwake Mwananyamala na mwili wake kwenda kuhifadhiwa katika hospitali ya Mwananyamala.
Mungu amlaze Peponi Pema

No comments: