Tuesday, March 24, 2015

HAKIMILIKI ZA MARIJANI RAJABU

Marijani Rajabu alizaliwa tarehe 03 March, 1955 katika eneo la Kariakoo Dar es Salaam. Siku ya tarehe 23 March 1995 Marijani Rajabu- Jabali la Muziki, Doza aliaga dunia. Tunatimiza miaa 20 toka tulipoonana mara ya mwisho na mwamba huu. Nakumbuka nilipokutana nae mara ya mwisho, alikuwa kiuza kanda za nyimbo zake katika kaduka kadogo alikofungua nyumbani kwake...endelea huku