Monday, June 30, 2014

JE UNA MASWALI KUHUSU MUZIKI AU MWANAMUZIKI WA ZAMANI?

UNGEPENDA KUSIKIA AU WIMBO MAALUMU WA ZAMANI, AU KUJUA HABARI ZA MWANAMUZIKI WA ZAMANI TUMA SMS KUPITIA +255 763 722557, NA JIBU UTALIPATA KUPITIA EFM RADIO 93.7FM KILA JUMAPILI KUANZIA SAA 2-5 USIKU NA PIA KUPITIA KURASA ZA BLOG HII

Sunday, June 29, 2014

KATIKA KIPINDI CHA ZAMA ZILEE 93.7FM LEO

BEMBEYA JAZZ TOKA GUINEA
Baadhi ya makundi na wanamuziki utakao wasikia leo John Mwenda Bosco,Bembeya Jazz,Black Blood, Elvis Presley, James Brown, Maroon Comandoes, Tancut Almasi Orchestra, Orchestra Mambo Bado, Kiko Kids, Jamhuri Jazz, Tabora Jazz, Bima Lee, Sola TV, Nuta, Double O, Sunburst, Orchestra Sosoliso, Orch Negro Success,TP OK Jazz na wengi wengine usikose kuanzia saa mbili mpaka saa tano usiku.....http://tunein.com/radio/E-FM-Radio-937-s224740/

Monday, June 16, 2014

KIJIWE CHA KITIME SASA PIA KATIKA 93.7 FM REDIONI KILA JUMAPILI

Kila Jumapili kuanzia saa 2 hadi saa 5 usiku kupitia EFM 93.7 Fm, ntakuwa nikikuletelea muziki wa zamani kutoka ulimwenguni kote. Kipindi hiki kitakuwa kikirushwa kupitia radio mpya EFM. Katika kipindi hiki licha ya muziki pia kutakuwa na hadithi mbalimbali kuhusiana na muziki na maisha yalivyokuwa wakati huo. Unaweza kuwasiliana nami kupitia ukurasa wa Facebook huu https://www.facebook.com/pages/ZAMA-Zileeeee/288646357969709 ingia hapa u Like ukurasa huu na kutoa mapendekezo ya unachokitaka. Pia unaweza kuipata redio hii katika mtandao wa internet kupitia http://tunein.com/radio/E-FM-Radio-937-s224740/ haya ingia hapa ufaidi muziki, vichekesho masaa 24.